Header Ads Widget

Responsive Advertisement

FREEMASON AMA KATIKA LUGHA YETU 'WAJENZI HURU'



HII NI NEMBO KUU YA KIMASONIA





FREEMASON NI AKINA NANI?
FREEMASON NI NINI?
ILIANZIA WAPI?
WANAFANYA NINI?
MALENGO YAO NI YEPI?

JE NI SALAMA NA SAHIHI KUWA MWANACHAMA?

Hayo na mengine mengi ndiyo maswali yanayo waumiza vichwa wana Afrika Mashariki, na hata ulimwengu kwa ujumla, lakini pia kumekuwa na blanketi la kiza kwenye majibu ya maswali na mfano wa hayo, ni kima majibu wanayo yapata walimwengu hayakidhi haja ni kima kuna mabcho hakiwekwi wazi.



Kwenye mfululizo wa machapisho haya kwenye blog yako hii tutachambua maswali hayo na majibu yake kwa kina kadiri nitakavyo weza.





NDANI YA HEKALU LA KIMASONIA

Post a Comment

0 Comments