Header Ads Widget

Responsive Advertisement

AAAH! SHEMEJI





Aaah ! Shemeji

"Kwani utamwambia wewe kwamba nimekupa?"
"Siwezi kumambia kaka kitu kam hicho lakini huoni kama tunajitengenezea mazingira magumu hasa tukiwa karibu na kaka?"
"Siyo hivyo acha uoga wewe ni mtoto wa kiume. Mbona mimi wa kike lakini sina uoga kama wa kwako?"
"Mh! Mimi naogopa sana na siko tayari katika hilo. Huo ni uchafu tena ni laana kubwa na bahati mbaya hicho kitendo tukakifanya halafu familia ikajua itakuwa balaa kubwa sana. Tena usirudie kunitamkia maneno hayo. Na ukikaidi nitakurekodi halafu nimpe kaka asikilize aujue uchafu ulokuwa ukinambia."
"Eti laana! Laana zipi unazozijua wewe? Tutaona mimi na wewe nani alianza kuliona jua"
****
"Aaah! Shemeji uchokozi mbaya huo mwenziyo zinapanda eti"
"Nd'o vizuri ili upate hiyo laana ulokuwa unaisema"
"Aagh aaooshhh, achana na maneno hayo si nilikuwa nasema tu na wewe? Wewe nipe utamu buana."
"Alaa! Si ulisema mwenyewe jamani tena ukasema utanishtaki?"
"Nipe baasi mbona unanibania hivyo sh-ee-mme-jiii?"
"Sema mwenyewe nianze na wapi kukupa utamu?"
"Anza na masikio buna huko ukiweka ulimi unanimaliza kabisaa."
"Haya. Utamwambia tena kaka yako?"
"Dah! Unanitesa ujue."
"Jibu swali langu ndo nitakupa utamu."
"Kwa raha hizi unadhani nitathubutu kufungua kinywa changu kuliongea hili wakati natamani nipewe hivi kila siku?"
"Bado sijakupa raha acha uongo. Tena na mimi nataka unipe raha ambazo huwa unampa mpenzi wako maana huwa nasoma hadithi zako facebook unaonekana unajua kupagawisha kwelikweli maana haiwezekani uandike usichokijua."
"Kumbe nd'o unataka kama yale n'nayoyaandika? Mimi huwa naandika tu lakini sijui chochote."
"Unantania hee? Ngoja nivue nguo halafu nione kama hutanihudumia!"
"Sasa ulikuwa unaniongopea kwasababu gani? Ninyonye panda shuka nd'o nasikia raha zaidi"
"Mfano tukakutwa hapa itakuaje?"
"Tunajigeuza machizi na hakuna kitakachoharibika. Tunakuwa machizi kwa muda. Yani mpaka kaka yako atashangaa."
"Huo utani wa ngumi shemeji! Yani tumevua nguo hivi ulimi wangu upo katikati ya mapaja yako tena umeweka mkono kichwani kwangu halafu tukutwe tuonekane machizi? Naye akilegea kwa uongo huo, yeye ndiye atakuwa chizi tena anayehitajika kwenye vipimo haraka sana."
"Ninyonye mwenziyo nasikia raha achana na story za kaka yako kwanza mtu mwenyewe hajawahi hata kuninyonya ulimi. Akitaka ni nguo ziwekwe pembeni mdudu aanze kunisulubu. Ningejua mwanzo ningempa nisingesubiri eti mpaka ndoa ifungwe nd'o nimpe. Huoni napata hasara kwenye utamu kama huu? Nipe wotewote nichizike vizuri kwa ajili yako shemeji yangu mtamu."
"Na wewe hapo umeniongopea. Me najua utamu upo kwenye katerelo."
"Haah! Katerelo ni kitu gani hicho hadi ukipambe namna hiyo?"
"Acha haraka maana na mimi nikianza kukupa hiyo katerelo huwa nahisi kama nipo katika hewa isiyo ya duniani maana ina utamu usiopimika halafu inatekenya sana naweza maliza haraka sana."
"Wewe niwehushe halafu siku ningine nitake useme huna muda au umechoka. Sitakuelewa na patachimbika."
"Acha maneno yako wewe umenitaka mwenyewe ngoja nikupe utamu hadi umuone mume wako kopo la takataka."
Dah! Mara nikasikia sauti za ndege wakileta kero zao kisa kumepambazuka. Jogoo nao hawakuwa mbali katika kutoa sauti zao. Nikajikuta nikikasirika kupita kiasi maana walinikatisha utamu ambao sikuwahi pewa hapa duniani tangu nizaliwe. Nikafikiria jinsi mke wa kaka yangu anavyonichukia. Hata kupishana naye anaona kama amepishana na kitu kilichooza.
"Unalala mpaka saa kumi na mbili umekuwa nani kwenye nyumba hii?"
"Huyo nd'o shemeji yangu mwenyewe na sauti yake ya ukali" Pumbavu kweli! Angejua alivyokuwa ananitolea masifa na miguno kibao kwenye ndoto, asingethubutu kunikaripia vile. Nikaamka na kufanya kazi zote za pale nyumbani lakini akili yangu yote ilikuwa katika ndoto ile. Ndoto tamu ya kuonja utamu wa kaka yangu. Loh! Kwa kawaida kila nilipomaliza kazi za pale nyumbani, sikuwa nikikaa pale ili kuepuka zogozogo za mke wa kaka yangu. Nikaingia bafuni na kuoga. Nikiwa najiaandaa kuondoka pale nyumbani, shemeji akichefua tena lakini ntafanya nini wakati wao ndo wananiweka mjini na bado sina kazi ya kunitia kiburi?
"Najisikia vibaya naomba unisaidie kufua. Siyo nyingi kidogo tu na pia samahani kwa hilo."
Tangu nimemjua dada yule sikuwahi kumuona katika hali ya ukarimu kama alioninyesha wakati akiniomba nimsidie kufua."
"Usijali shemeji ntafua."
Akanitolea nguo na kunikabidhi. Nikatoka nje kwa ajili ya kufua. Nguo alizonipa zilikuwa ni za kaka lakini wakati nafua nikashangaa kukutana na nguo ya ndani ya shemeji yangu. Tena ile ambayo aliivua kwenye ndoto. Nikajikuta nikipatwa na hisia tofauti kwa kuona kama haikuwa ndoto labda ni ukweli. Au shemeji ni mchawi? Aliamua kuja kimazingara chumbani kwangu maana ndoto nzima ile sikujihafua Maksudi haya. Mhh! Haiwezekani. Nikaendelea na kazi niliyopewa tena kwa kumuonyesha mi ni noma, nikaifua na kuianika ya kwanza. Haikuchukua muda nikamaliza kufua. Nikatoka kuelekea kwa mshkaji wangu ambaye tulizoena kama ndugu.
"Mwanangu usiku si nikaota nambanjua shemeji yangu halafu mchana huu akaniomba nimfullie nguo mara nakutana na nguo yake ya ndani niliyomuona nayo kwenye ndoto ikanibidi nishangae kinoma na kumuona kama mchawi asee."
"Ndoto yako ni ya kipuuzi lakini hilo la nguo ya ndani kakutega huyo. Cha msingi na wewe mmalizie kwa kuzianua halafu yenyewe unaiweka juu wakati unampa."
"Mwana unaushauri mtata kweli."
"Ameshakutamani huyo usione ile kukukaripia ni mbwembwe tu hizo"
"Sawa mkali wao ntafanya hivyo nione kitakachofuata." Tukaendelea na story za kawaaida ili kupoteza muda hadi ilipotimu majira ya mchana nikaaga na kurudi nyumbani kwa ajili ya chakula cha mchana. Nilipofika kwa bahati hakuwa amezianua. Nikazianua na kupelekea. Kwanza alipoiona akainamisha macho chini ndipo akazipokea.
"Asante shem."
***
Zikapita kama wiki mbili. Shemeji akawa amebadilika na kuwa si wa kunikaripia tena. Tukaanza kuishi kwa kuchekeana na si kununiana kama mwanzo. Ucheshi ukawa jadi yake na nikaanza kumfaidi shemeji kwa uatani wake pindi kaka wapo kazini.
"Hivi shemeji nikikuomba msaada utanikubalia au utakatalia?"
"Nikatae kwasababu gani?" Nilipomjibu hivyo, akainuka na kukaa kwenye sofa nililokuwa nimekaa mimi.
"Shida yangu ni kuniondolea tabu ninazozipata kila siku kwa kaka yako" Aliyaongea kwa kuninong'oneza. Ile kuhema kwake kwa kasi ikanichanganya.
"Tabu gani hizo mbona sikuelewi shemeji yangu?"
"Utanielewa tu." Hapo akanisogezea kinywa karibu. Nikashtuka na kuinuka lakini akaniwahi nakunivuta tena. Nikaangukia mapajani mwake. Akaanza kunipapasa huku akiniambia. "Sikuwa nakuchukia wewe tu bali nilidhani na wewe ni kama kaka yako kitandani lakini nilivyosoma tu hadithi zako facebook nikajikuta nikijilaumu kwanini nilikuwa nikikukaripia wakati kitu nilichotaka kukifuata nje yupo wa ndani anayeweza kumsaidia mume wangu." Hadi anamaliza kuongea hayo, sikuwa na nguo yoyote mwilini mwangu na yeye vilevile. Tayari tulikuwa uchi akiushikashika uume wangu wangu. Laiti ningejua kitakachotokea sekunde chache zijazo nisingelainika mikononi mwa shemeji yangu.
Tukiwa tumekolea wakati huo na mimi nikianza kuzifaidi chuchu ambazo bado hazijanyonyesha, ghafla mlango ukafunguliwa huku kaka akitamka jina la mkewe kwa mbwembwe kuashiria furaha aliyokuja nayo lakini furaha yake ikayeyuka ghafla kwa hali aliyotukuta nayo. Vitu alivyokua amevishika vikamponyoka na neno nililolisikia kinywani mwangu ni kuniita kwa sauti ya juu. "Roberth" kisha aanguka chini na tulipompeleka hospitali alishakata roho. Ni mshtuko mkubwa mno alioupata kutokana na kitendo alichokishuhudia machoni mwake. Watu aliowaamini wakamsababishia kifo. Mwezi mmoja baada ya kifo chake mke wake akarudi kwao. Nikamkosa kaka kwasababu ya tamaa. Maisha yangu yakawa magumu sana na kujikuta nikijiona mjinga kati ya wajinga. Ni mwaka mmoja tu aliyekuwa shemeji yangu akaolewa na mwingine na kuhamishiwa nchini Kenya. Siwezi kusahau tukio lile baya
Nwashauri wote wenye tamaa waache mara moja kwakuwa mwisho wake ni mbaya na hasara yake ni kubwa. Ukiaminiwa aminika kweli.

Mwisho.

Post a Comment

0 Comments