Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

home shopping ceo.jpg



home shopping2.jpg


Habari wadau..

Kiukweli mimi ni mkristo..

Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii

Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..

Unamkuta mdada kashuka kwenye range lake na hijab yake...

na hata akivaa suti au formal dress la ofisini.. akipiga na ushungi wake anapendeza sana..

yaani unaona tofauti kubwa sana kati ya mke wa mtu wa kiislam na wa kikristo..

Mtu baba ana oil com, lake oil, home shopping na mabiashara mengine makubwa makubwa lakini ana staha.. hana dharau.. dress code ya heshima tele hadi unatamani awe wako..

Ila ukute mambo safi wa dini yetu..

Hicho kiminii.. kikuku na nyodo ofisini..

Hayo mavazi ni kama anashiriki umiss


Waislamu japo mna mapungufu yenu ila kwenye dress code ya wanawake mpo juu sana..

Kuna tofauti kubwa ya mavazi ya mwanamke aliyeolewa wa kiislam na kikristo..

Hata kumtongoza kipuuzi puuzi mtu unaogopa mavazi yake tu yalivyo mpa heshima kubwa..

Post a Comment

0 Comments