Header Ads Widget

Responsive Advertisement

JINSI YA KUMNYONYA MWANAMKE MPAKA AKOJOE KABLA YA KUINGIZA UUME

Image result for somali sexiest beautiful girl


Wanaume wengi hupenda sana “ngono ya mdomo” na wanawake wengi pia hupenda ngono ya namna hiyo kwaniwana enjoy sana, lakini ukweli ni kuwa hutakiwi kchukua muda mrefu sana ili mwanamke abaki na hamu ya kufanya mapenzi.Hivyo haiwezekani uchukue muda mrefu sana kwa vile unapochezea kisimi na kisha mwanamk...e kufika kileleni anahitaji muda wa kupumzika….ukiendelea bila kupumzika ni wazi kuwa atakuwa anazuga kuwa nafurahia kumbe hakuna kitu.
Mwanamke anatakiwa akae kwenye kochi/ na kupanua miguu yake au alale pembezoni mwa kitanda au kwenye kona ya kitanda kisha nyanyua miguu yake na aiweke kama anazaa (V-shape).
Hapo wewe mwanaume unatakiwa kushika sehemu ya ndani ya mapaja yake ili kukurahisishia kuzama vema na vilevile kumzuia yeye asikubane kichwa mara tu utamu utakapomkolea.
Sasa weka mdomo wako juu ya kisimi ktk mtindo wa kufunika kisha anza kunyonya ktk mtindo wa kubusu, yaani kama vile unalamba mabaki ya kitu kitamu/chakula kidoleni.
Hakikisha pua, kidevu au kwa kifupi uso wako haugusi sehemu yoyote ya eneo hilo unalofanyia kazi na vilevile kumbuka kutokimbilia kupenyeza ulimi wako kwenye uke (pale uume unapoingia) na badala yake wewe komalia kisimi tu…..na ukinyonye na kukilamba vile mpenzi wako anapenda au unaweza kuongeza ujuzi wako wa kutumia ulimi as long as unajua kuwa mpenzi anafurahia.
Kumbuka kila unapobadili “mtindo” wa kulamba kinyonye kisimi hicho ktk mtindo wa kubusu pamoja nakuwa hutoa utamu wa hali ya juu pia itakusaidia au kukupa nafasi yakupumzika na kupumua bila kukiacha kisimi (ukikiacha utampotezea utamu mwenzio hali itakayo kufanya uanze mwanzo).
Ukihisi anakaribia basi jaribu kufanya kama vile unakivuta kisimi kwa juu (kama unakinyofoa) lakini bila kusababisha “discomfort” huku ukiendelea na mnyonyo wako mpaka atakapo anza kukaza misuli ya miguu na kukandamisha kichwa chako kama vile anataka uingize chote kisha atajiachia…..hapo ndio kamaliza hiyo inachuka kati ya dk5-30 na wewe hamisha ulimi na mdomo wako kwenye mashavu, uke,pale uume unaingia na maeneo meingine ya karibu lakini sio kisimi.

Post a Comment

0 Comments