Header Ads Widget

Responsive Advertisement

WAZUNGU WALIVYONIKOSESHA MKE




Kwa jina ninaitwa Hemedi Ally na ninaishi Magomeni jijini Dar es Salaam. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumatano, mwezi wa nane mwaka 2009. Siku hiyo

nilikuwa chumbani kwangu kwa kuwa nilikuwa nimechoka kwa kuwa toka nilipotoka chuoni, sikuwa nimepata muda wa kupumzika.
Mimi kama mimi, sikuwa tajiri, nilikuwa masikini kama wewe, na inawezekana wewe ukawa na fedha kuliko mimi. Katika kipindi hicho nilichokuwa nikisoma

katika Chuo cha IFM, nilibahatika kupata msichana mrembo sana, huyu aliitwa Halima.
Nilimpenda sana Halima kwa kuwa alikuwa tofauti na wasichana wengine, alinithamini na kunijali, alinisikiliza kwa kila kitu. Kiukweli, nilikuwa na uhakika wa

kumuoa na kumfanya kuwa mke wangu wa ndoa.
Katika mipango yote tuliyokuwa tukupanga, nilimuachia Mungu kwani bila yeye, hakukuwa na kitu ambacho kingeweza kufanyika. Siku zikaendelea kukatika,

mwisho wa siku nikaamua kwenda kumtolea mahali nyumbani kwao, ila kabla ya kufanya hivyo, nikawaita ndugu na marafiki zangu, nilitaka wanisindikize

huko.
Kweli tukaenda na kufanya kile kilichotakiwa kufanyika, Halima alifurahi sana, aliniona kuwa mwanaume mwaminifu ambaye sikuwa na lengo la kumchezea.
Huku tukiwa tumepanga siku ya kufunga ndoa, nikaanza kupata vizingiti kutoka kwa ndugu zake. Wapo wengine ambao hawakuwa wakitaka kuniona nikimuoa

ndugu yao, kisa kikubwa ni kwamba nilikuwa masikini. Ningemlisha nini? Ningemvisha nini? Hakika walikuwa na kila sababu ya kunikataa, lakini mbali na

hiyo, nilikuwa na mapenzi ya dhati kwake.
Fedha si kitu, mali si kitu, kitu pekee ambacho mtu anatakiwa kuwa nacho ni mapenzi ya dhati tu. Huwa ninaamini watu wengi waliokuwa na fedha hawana

mapenzi ya dhati, wanatambia fedha zao kwamba wanaweza kufanya kila kitu katika maisha yao, lakini kwa sisi masikini, huwa tunapenda na kuthamini, kwa

sababu umasikini unatupiga sana, huwa tunapenda kwa dhati kwani tunataka mapenzi yawe sehemu maalumu ya kuupoza moyo wetu kutoka katika maumivu

makali ya mapenzi.
“Ninachukiwa na ndugu zako, kwa nini? Au kwa sababu sina fedha? Au kwa sababu sina mali? Nimezaliwa kwenye umasikini mkubwa Halima, wanatakiwa

kunikubali kwa jinsi nilivyo,” nilimwambia Halima, sauti yangu ilikuwa ni ya upole sana, hata kama wewe ungebahatika kuniangalia, nilitia sana huruma.
Halima akaniangalia, akaachia tabasamu pana. Sikufichi, hakuna kitu kinachonichanganya kwa Halima kama kuliona tabasamu lake, ninapokuwa nimekata

tamaa, ninapoliona tabasamu lake najisikia kupata nguvu mpya, ninapokasirika, ninajisikia kufurahia tena, hakika tabasamu la Halima lilikuwa kila kitu kwangu.
“Usijali mpenzi, mapenzi yangu ndiyo kitu pekee katika maisha yetu, hakika siwezi kukuacha, nitaendelea kuwa nawe bila kujali umasikini uliokuwa nao.

Kupata ni majaaliwa,” aliniambia Halima, hakika maneno yalke yakanitia sana nguvu.
Ndivyo tulivyokuwa tukiishi, nilimpenda mpenzi wangu kupita kawaida. Niliwataarifu marafiki zangu juu ya harusi tuliyokuwa tukijiandaa kufunga, ilikuwa

kama miezi minne baadae. Marafiki wote wakajua hilo, wakanitakia baraka tele.
Ilipofika mwezi wa kumi, kuna wazungu nilikutana nao ufukweni, ilikuwa Coco. Walikuwa watatu, mmoja alikuwa mvulana na mmoja alikuwa msichana.

Waliponiangalia, wakanifuata na kuanza kuongea nami.
Kwa kuwa nilikuwa nikifahamu sana lugha ya Kingereza, wakaniambia kwamba walikuwa wakihitaji sana msaada wangu wa hali na mali, niawasaidie kwa vitu

walivyokuwa wakivihitaji, hivyo nilitakiwa kuonana nao Msasani, wakanielekeza walipokuwa wakiishi, walifikia kwenye hoteli ambayo sidhani kama ni busara

kuitaja jina.
Sikutaka kumwambia Halima, kwanza nilitaka kufanya siri kwa kuona endapo walikuwa wakinipa fedha na kuyabadilisha maisha yangu basi ingekuwa vizuri

kwangu, hivyo nikatulia kimya.
Baada ya siku mbili, kwa kuwa niliwapa namba ya simu yangu, wakanipigia na kusema kwamba walikuwa wakinihitaji, hivyo nikaelekea huko. Nilipofika,

nikaelekea mapokezini ambapo nilimwambia mhudumu kwamba nilitaka kuonana na wageni hao, nikaruhusiwa kuingia.
Chumba kilikuwa kizuri sana, naweza kusema kwamba sikuwahi kukiona chumba cha nama hiyo, na kama nilikiona basi kwenye filamu hasa za kina van

Damme.
Walinikaribisha kwa kunichanganmkia na kunitaka nisiwe na wasiwasi, walichokuwa wakihitaji ni kufanya kazi na mimi, walikuwa wageni hapa Tanzania hivyo

walinitaka niwe mkalimani wao kwa kazi zao, waliniahidi kunilipa dola mia tano kwa siku, ilikuwa ni zaidi ya shilingi laki saba.
Nikawakubalia. Kwangu ilikuwa kama ndoto. Kama nilivyokwambia kwamba nilikuwa kijana masikini hivyo kiasi hicho kwangu kilikuwa kikubwa, bila

kujifikiria, nikakubaliana nao. Kabla ya kuanza kazi kesho, siku hiyo wakanigawia dola mia mbili, nilifurahi mno.
Niliporudi nyumbani, nilimpigia simu Halima na kumwambia aje nyumbani, nilitaka kumwambia kile kilichokuwa kimetokea, lakini sikumwambia simuni,

nilitaka kumwambia nyumbani, yaani niliifanya kama suprise fulani, hivyo alitakiwa kuja nyumbani.
Wala hakuchukua muda, nikamwambia kilichokuwa kimetokea, japokuwa alifurahi sana lakini akanitahadhalisha kwamba nilitakiwa kuwa makini.
“Hakuna tatizo mpenzi, mbona poa tu,” nilimwambia huku nikijiamini.
“Usiseme hivyo, usimwamini kila mtu.”
“Usijali. Nitakuwa makini. Lakini kwa Wazungu, sijui kama wana matatizo, hizi ngozi ndiyo huwa tatizo,” nilimwambia Halima huku nikijinyooshea mkono,

yaani nikimaanisha hii ngozi nyeusi tuliyokuwa nayo.
“Sawa. Ila yakupasa kuwa makini mpenzi,” alinisisitizia.
“Usijali.”
Naweza kusema kwamba Halima alikuwa na machale, nilijifanya kubisha na kuwasifia sana Wazungu lakini mwisho wa siku, nilikuja kulia, kitu cha kwanza

nikampoteza mpenzi wangu, na kitu cha pili, nikaathirika kisaikolojia, yaani endapo ningejua kile kilichokuwa kinakwenda kutokea, hakika nisingekubali hata

kuchukua hela zao.

Siku iliyofuata nikaonana na wale wazungu waliotaka niwapeleke Magomeni Mikumi katika kituo cha watoto yatima, tukaelekea huko na kutoa misaada kadhaa

na kisha kuondoka.
Mimi ndiye nilikuwa mwenyeji wao, nilikuwa nikiambatana nao kila sehemu walipokuwa. Kiukweli nilitokea kuwafagilia sana kwa kuwa walinipatia fedha

nyingi ambazo kwa masikini kama mimi zilinifanya niwakubali sana.
Hawakutaka kunificha, waliniambia kwamba walikuwa wamekuja zaidi ya hamsini barani Afrika ila walikuwa wamegawana makundi, kulikuwa na wazungu

wengine ambao walikwenda katika nchi nyingine na wao walichaguliwa kuja katika nchi hii, lengo lao kubwa lilikuwa ni kuongea na masikini na kutoa misaada

kadhaa.
Katika kila kitu kilichokuwa kikiendelea, nilimpa taarifa Halima ili kumuondoa hofu, cha kushangaza kabisa, mchumba wangu huyo hakufurahishwa kabisa, kila

siku aliendelea kunisistizia kwamba kwa jinsi nilivyokuwa nikimpa stori, ilionyesha wazi kwamba wazungu wale hawakuwa na malengo mazuri kwangu.
“Hapana bwana mpenzi, wasiwasi wako tu,” nilimwambia.
“Kiukweli Hamadi sina amani kabisa na hao wazungu wako, moyo wangu mzito mno kuwakubali,” aliniambia huku akionekana kuwa na wasiwasi kweli.
Kazi yangu kubwa ilikuwa ni kumuondoa wasiwasi, hakutakiwa kuwa kwenye hali hiyo na wakati ilikuwa moja ya kazi iliyotupa mafanikio wote wawili,

nikampiga manenomaneno yangu weeee, akakubaliana nami kishingo upande.
Kuna kipindi wazungu wale walikuwa wakinichanganya sana, nilipokuwa nikiwafuata chumbani, wanawake wawili, acha na yule mwanaume, walikuwa

wakijiweka kihasarahasara sana jambo lililoniweka katika wakati mgumu mno.
Wakati mwingine walikuwa wakibadilisha nguo zao mbele ya macho yangu, waliviacha vifua vyao wazi na hata wakati mwingine kubadilisha nguo zao za ndani

mbele ya macho yangu.
Mimi ni mwanaume rijali ninyejitambua, kila nilipokuwa nikiona hivyo, nilisisimka sana kitu kilichowafanya kuchekacheka tu.
Siku ziliendelea kukatika, baada ya wiki moja, wakaniambia kwamba walikuwa wakiondoka kurudi nchini kwao, hivyo walitaka kuondoka nami. Hilo

halikukubalika moyoni mwangu, nilikataa katakata na nikawaambia kweli kwamba sikutaka kwenda nao.
Walinyong’onyea sana kwani walikuwa wamenizoea, walichoniambia ni kunitoa hofu kwamba kila kitu kingekuwa shwari, yaani ningekwenda nao mpaka

ubalozini, kunitolea taarifa na kama kungekuwa na tatizo lolote ambalo lingetokea basi wao ndiyo wangewajibika.
Unaona jinsi walivyojiaminisha kwangu, nikatokea kuwaamini na siku hiyo nikaenda kumpa taarifa Halima. Alionekana kama mwanamke aliyepagawa,

anilipomwambia tu, akaruka, akasimama pale alipokuwa amekaa na kisha kuniangalia mara mbilimbili kama mtu aliyekuwa ameona kitu cha kushangaza.
“Unasemaje?” aliniuliza kwa mshangao.
“Wameniambia niende nchi kwao, Marekani,” aliniambia.
“Hapana. Haiwezekani, yaani uondoke na watu usiowajua?”
“Ila wamesema tunaweza kwenda ubalozini kunitolea taarifa niwe chini ya uangalizi wao, yaani kitu chochote kibaya kikitokea, wawajibishwe,” nilimwambia

Halima.
“Haiwezekani. Hauondoki kwenda popote,” aliniambia Halima.
“Mpenzi....”
“Haiwezekaniiiiiii......”
Nilishawahi kumuona Halima akiwa kwenye hasira lakini kwa siku hiyo alikuwa na hasira ambayo sikuitegemea kabisa, alikuwa akiniangalia huku macho yake

yakiwa mekundu kwa hasira mpaka nikaogopa.
Sikutaka kujali sana, kwa sababu nilikuwa masikini na nilikuwa nikihitaji kutoka kimaisha, nikaona kwamba hiyo ndiyo ilikuwa nafasi pekee ya kwenda

Marekani na kutengeneza maisha yangu.
“Mpenzi, haina jinsi, ni lazima niende huko, nikirudi, nakuamini tutakuwa matajiri sana,” nilimwambia.
Halima akaanza kulia, hakuamini kwamba pamoja na kunitolea sauti kwa ukali, kuonyesha kwamba nilikuwa nimekasirika mwisho wa siku ningemwambia

kwamba iwe isiwe ilikuwa ni lazima kwangu kuondoka.
Nikajipanga kwa ajili ya safari, siku iliyofuata, nikawafuata hotelini na kuwaambia kwamba nilikuwa tayari kwenda huko.
“We are proud of you Hamad” (Tunajivunia wewe Hamadi) aliniambia mzungu mmoja wa kike, nakumbuka jina lake alikuwa akiitwa Catherine, wenzake

walizoea kumuita Cathie.
Siku hiyo walionekana kuwa na furaha kubwa, kila walipokuwa wakizungumza, walikuwa wakinipongeza kwa uamuzi niliouchukua wa kwenda nchini

Marekani pamoja nao.
Ilikuwa furaha kwao pia, umasikini wangu niliokuwa nao niliuona kupotea. Hasira zangu zilikuwa kwa ndugu zake Halima, hawakunipenda kwa kuwa nilikuwa

masikini, hivyo kupata fedha kungenifanya kuwafunga midomo yao, yaani kila kitu nilichokuwa nikikifanya ni kutaka kuwaonyeshea kwamba sikutakiwa

kudharauliwa kwani fedha zinaweza kumilikiwa na mtu yeyote.
“Nikipata utajiri, watanikoma, wewe waache tu,” nilijisemea kila nilipokuwa nikiwakumbuka.
Bado walikuwa wakiendelea kunywa pombe, ilikuwa ni saa tatu usiku. Walionekana kufurahi sana na kila nilipowaambia kwamba nilitaka kuondoka, walinizuia.
“I gotta go” (Nataka kuondoka) niliwaambia.
“You can’t leave Hamad...join us (Huwezi kuonoka Hamad, ungana nasi)” aliniambia Claire, msichana mwingine wa kizungu.
“Am tired, pleaseeee” (Tafadhali, nimechoka) niliwaambia.
“Nope...nope ...I want tu leave” (Hapana....hapana...ninataka kuondoka) niliwaambia.
Bado waliendelea kunisisitiza kwamba nilitakiwa kubaki na kusherehekea pamoja nao Sikujua walikuwa wakisherehekea nini, sikujua kama siku hiyo kwao

ilikuwa ni sikukuu au vipi.
Ukiachana na mambo ya mimi kutaka kuondoka, pia walikuwa wamenichanganya sana. Walijua fika kwamba mimi ni kijana rijali, sasa ilikuwaje wavue nguo

mbele zangu huku wakicheza muziki? Hata kama ni uzungu, lakini kwao niliona ukiwa umevuka mipaka.
Walipoona haitoshi, wakaanza kunyonyana midomo yao huku wakiniangalia. Kuna wakati Claire alikuwa akinifuata na kunikalia juu, alikuwa akichezacheza

kwa kukata viuno, alipomaliza na kutoka, naye Catherine alikuwa akija na kufanya hivyohivyo, tena yeye alizidisha kwani alikuwa akivua kifulana chake,

anakiacha kifua chake wazi na kisha kukileta karibu na mdomo wangu.
Nilikuwa tofauti na Antony, yule mzungu wa kiume. Yeye alikuwa mtu mweupe, mwili wake ulikuwa wa baridi tofauti na mimi. Mimi nilikuwa mtu mweusi,

mwili wangu ulikuwa wa moto na damu inachemka kwa kasi, kusisimka kwa mwili wangu haikuwa mpaka msichana avue nguo zake na kubaki mtupu, la hasha,

kwa jinsi nilivyokuwa, yaani hata nilipoona miguu yake kupanda juu mpaka mapajani, zilikuwa ni sehemu tosha zilizonisisimua, sasa ilikuwaje kwa kuona vile

alivyokuwa akinionyeshea?
Nilikaa nao mpaka saa tano usiku, hapo nikaamua kusimama kwani bila kuwaonyeshea ishara kwamba nilitaka kuondoka, wasingeweza kuniruhusu. Catherine

akanifuata na kunigawia chupa ya pombe kali na kunitaka ninywe, nilikataa kwa kuwa sikuwa mlevi.
Alichonifanya ni kunibadilishia kinywaji, akanipa soda na kunitaka ninywe na ndiyo niondoke. Ili kuwaridhisha na waniache niondoke, nikanywa soda ile. Wala

hazikupita dakika nyingi, nikaanza kuona mawenge, nikaanza kuwaona watu wakizungukazunguka, nilipojaribu kusimama, sikuweza, macho yakaanza kuwa

mazito, mwisho wa siku nikagundua kwamba walikuwa wameniwekea madawa ya kulevya kwenye kinywaji.
Sikuchukua muda mrefu, nikaona giza, na sikujua kilichoendelea baada ya hapo.

Nilikuja kupata fahamu nikiwa ndani ya gari ambalo sikulifahamu lilikuwa ni la aina gani. Liliendeshwa kwa kasi huku sikuwa nikijua ni wapi nilipokuwa

nikielekea. Ilikuwa usiku, nikajaribu kujinyanyua kitini ili niangalie nilikuwa wapi, kulikuwa na giza nene.
Mapigo ya moyo yalikuwa yakinidunda, nilikuwa katika wakati mbaya na mgumu sana. Sikuwa nikiwajua watu hao, sikujua walitaka nini na walikuwa

wakinipeleka wapi. Nikajaribu kuufungua mdomo wangu, nikagundua kwamba ulikuwa umezibwa kwa gundi ya karatasi, nilipotaka kuitoa, nikagundua

kwamba mikono yangu ilikuwa imefungwa kwa kamba nyuma.
Tayari nikajiona kuwa kwenye wakati mbaya sana, wazungu wale hawakuwa watu salama kwangu kwani kama wangekuwa salama basi wasingeweza kunifunga

kamba na kuniziba mdomo kwa gundi ya karatasi.
“Hawa ni wakina nani? Wanataka nini kwangu? Au ni Mafia? Hapana, hawawezi kuwa Mafia. Lakini ni wakina nani?” nilijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na

majibu.
Muda ulizidi kwenda, wazungu wale walikuwa wakipiga stori tu, hawakuonekana kujali kabisa na hata nilipojaribu kupiga kelele na kuishia kutoa miguno,

hakukuwa na mtu aliyejali.
Hapo ndipo nilipokumbuka maneno aliyoniambia mpenzi wangu Halima kwamba sikutakiwa kuwaamini wazungu wale lakini nilikifanya kichwa changu kuwa

kigumu. Kwa wakati huo, nilitamani dakika, masaa na siku zirudi nyuma ili niende nikamuombe msamaha Halima kwa kutokumsikiliza.
Safari ya kuelekea nisipopafahamu iliendelea, baada ya saa moja, gari likasimamishwa na kisha milango kufunguliwa, wakateremka na kuja kuniteremsha na

mimi pia.
Kiukweli, mpaka leo hii sifahamu sehemu ile ilikuwa ni wapi. Mbele ya macho yangu kulikuwa na nyumba nzuri mno, ilikuwa kubwa iliyosheheni magari

mengi, kwa kuiangalia tu, ilionekana dhahiri kwamba mmiliki wake alikuwa na kiasi kikubwa cha fedha.
Nikatulia, japokuwa ninajitambua kwamba mimi ni mtu wa fujo lakini katika maeneo kama hayo hasa unapoona umetaitiwa, inakubidi utulie tu uone nini

kitafuata.
Wazungu wale hawakuonyesha urafiki tena, walikuwa wamebadilika mno kiasi kwamba nilikuwa na hofu kubwa. Wakaniingiza ndani ya nyumba hiyo ya

kifahari, wakanifungua kamba na kunitoa gundi ile kisha kunitaka nitulie kochini.
Kitu pekee walichokuwa wakitaka ni kuniondoa wasiwasi, wakaanza kujichekeshachekesha huku wakifungua pombe na kunywa. Sikuwa na ujanja na

nilishindwa kufanya kitu chochote kile kwa kuwa mwanaume yule wa kizungu alikuwa ameshika bunduki, hivyo ningefanya fyoko, angeweza kunilipua.
“Ushawahi kufanya mapenzi na mzungu?” aliniuliza Cathie kwa lugha ya Kingereza.
Sikujibu kitu, nikatulia nikimwangalia tu.
“Nakuuliza wewe, ushawahi kufanya mapenzi na mzungu?” aliniuliza kwa mara ya pili.
Kwa wakati huu alionekana kubadilika, swali alilokuwa ameniuliza kiukweli jibu lake lilikuwa hapana ila hata nguvu ya kujibu sikuwa nayo kwa kuwa sikuwa

na amani kabisa moyoni mwangu.
“Hapana,” nilijibu kinyonge.
“Leo unakwenda kufanya mapenzi na mzungu. Umesikia?” aliniambia na kuniuliza, sikujibu, nikabaki kimya.
Baada ya dakika chache, mlango wa chumba kimoja ukafunguliwa na wazungu wengine wanne kutokea. Wote walionyesha sura zenye tabasamu pana la

kuniondoa hofu lakini kwangu halikuleta mabadiliko yoyote yale.
Ukiachana na ujio wao huo, mikononi walikuwa wameshika kamera zao zilizonifanya nishtuke. Sikujua ni kitu gani kilitaka kutokea mahali hapo, ila kwa hisia

zangu, nikaona kwamba nilitakiwa kurekodiwa filamu ya ngono.
“Haiwezekani, siwezi kufanya mapenzi kwa kulazimishwa, kwanza hata kifaa changu hakiwezi kufaya kazi, nipo kwenye hali ya hofu,” nilijisemea moyoni.
Walichokifanya ni kuanza kuziegesha kamera na taa zao, walionekana kukamilika katika kazi hiyo. Nilitulia nikiwaangalia tu. Kila kitu kilipokamilika,

wakanitaka kwenda kuoga.
Sikuweza kubisha, kila kitu nilichoambiwa kufanya, nilikifanya tena kwa heshima kubwa. Nilipofika bafuni, nikaanza kujuta, kitendo changu cha kuwaamini

sana wazungu ndicho kilichonifanya kuwa mahali hapo. Nilihuzunika sana lakini mwisho wa siku nilijiona kuwa na wajibu wa kukubaliana na kile kilichokuwa

kimetokea, haukuwa muda wa kujilaumu sana.
“Nitatoroka, siwezi kufanya mapenzi na mzungu, tena kwa kulazimishwa,” nilijisemea.
Chooni mule kulikuwa na kamera mbiliz, zote hizo zilikuwa zikinitazama pale nilipokuwa nikioga. Nilichohisi ni kwamba katika kila kona ndani ya nyumba ile

kulikuwa na kamera zilizokuwa zikirekodi kila kitu kilichokuwa kikiendelea.
Nilipomaliza, nikatoka na kurudi sebuleni. Tayari chakula kilikuwa kimeandaliwa, nikatakiwa kula, nikala japokuwa sikukiona kuwa na radha yoyote ile.
“Utafanya mapenzi na Claire, usihofu kuhusu kamera zetu, sisi ni watu wazuri sana,” aliniambia Cathie.
“Hapana. Siwezi.”
“Usiseme hivyo Hamid, kwanza tutaanza kukuita kwa jina la John, umesikia?”
Sikutaka kuongea kitu chochote kile. Alichokifanya Claire ni kunipa kidonge fulani na kuniambia ninywe, kiukweli sikutaka kufanya hivyo lakini kutokana na

bastola ile aliyoishika Antony, nikajikuta nikianza kunywa.
“Tunataka uwe kawaida, ukionyesha mashaka au hali tofauti, tunakuua,” aliniambia Antony.
Hapo nikajua kwamba kilichokuwa kikifuata ni kurekodiwa filamu ya ngono, walinitaka katika zoezi zima niwe natabasamu tu, na kama nisingefanya hivyo basi

ningeweza kuuawa.
Baada ya dakika moja, sehemu zangu za siri zikaanza kupata msisimko, kidonge kile nilichokuwa nimekunywa kumbe kilikuwa cha kushtua nguvu za kiume.

Walipoona hivyo, wakamwambia Claire aanze kazi.
Ilikuwa ngumu kuamini kwamba katika maisha yangu nilianza kurekodiwa mkanda wa ngono. Claire alikuja juu yangu, akaanza kunishika huku na kule,

akanivua suruali na kuanza kufanya vitu ambavyo sikutarajia.
Nikaonyesha tabasamu pana japokuwa moyo wangu haukuwa hivyo, alinichezea hapa na pale huku kamera zikiendelea kurekodi, nikapewa mpira wa kiume na

kazi kuanza rasmi.
Kufanya mapenzi ni raha, lakini linapokuja suala la kufanya kwa kulazimishwa huwa hauna raha yoyote ile, ndivyo ilivyokuwa kwangu.
Kidonge kile kilinipa nguvu, nilitumia muda wa saa moja na ndipo nilipomaliza huku mwili wangu ukiwa umechoka sana.
“Kapumzike. Zamu yangu baadae,” aliniambia Catherine.
Wakanichukua na kunipeleka katika chumba kimoja, kilikuwa kizuri mno. Nikakaa huko, nilipoangalia saa ya ukutani, ilikuwa ni saa sita usiku.
Chumbani humo nilibaki nikilia tu, sikuamini kama mwisho wa siku nami ningekuwa muigizaji wa filamu za ngono. Baada ya kukaa ndani ya chumba hicho

kwa dakika thelathini, mlango ukafunguliwa, wanawake watatu wakaingizwa, walikuwa ni Wabongo kama nilivyokuwa, walikuwa wakilia tu, kila

nilipowaangalia, nikaanza kujiuliza, je na mimi nilitakiwa kufanya mapenzi na hawa? Hakika nisingekubali.

Wasichana wale walifahamu fika kwamba sehemu waliyokuwa wameingizwa ilikuwa si salama, walibaki wakilia huku wakiomba msaada niweze kuwatoa

mahali pale, hilo lilikuwa jambo gumu mno kwani hata mimi mwenyewe nilikuwa kwenye kipindi kigumu kama walichokuwa.
Hawakujua waliingizwa mahali pale kufanya nini, walijaribu kuniuliza lakini sikutaka kuwajibu kwa kuamini kwamba majibu yangu yangeweza kuwaumiza

mno.
Siku hiyo hakukukuwa na mtu aliyelala, kichwa changu kilikuwa kikifikiria ukatili ambao nilifanyiwa. Japokuwa vijana wengi hupenda sana ngono lakini

kwangu hali ilikuwa tofauti kabisa, nilibaki nikilia usiku mzima kwani kitendo kile kiliniumiza mno.
Kuanzia siku hiyo ndiyo nilianza kuwachukia Wazungu, nilifanyiwa ukatili ule na watu wachache lakini kupitia wao, niliweza kutengeneza chuki kubwa sana

kwao. Sikuacha kumkumbuka mpenzi wangu, Halima ambaye kila siku alikuwa akinisisitizia kuhusiana na kile kilichokuwa kikiendelea kwa wazungu hao.
Asubuhi ilipofika, Antony akaingia ndani ya chumba kile, kama kawaida yake alikuwa na bunduki mkononi, wote tulikuwa macho kwani hakukuwa na mtu

aliyepata usingizi hata kidogo.
Nilipokuwa nikimwangalia, kiukweli chuki kubwa ikanikamata, sikumpenda hata kidogo, nilimchukulia kama mmoja wa shetani ambaye aliletwa duniani hapa

kwa ajili ya kututesa tu.
Kitu pekee alichokuwa akikitaka mahali hapo ni sisi kwenda kuoga kwa ajili ya kuanza kazi. Wasichana wale hawakuelewa kitu chochote kile, hata hiyo kazi

hawakuwa wakiifahamu kabisa.
“Ndiyo kazi gani?” aliniuliza msichana mmoja.
“Ooopppsss...” nilishusha pumzi ndefu.
“Tuambie, kuna kitu gani kinaendelea,” aliniambia msichana mwingine.
“Kuna biashara chafu mahali hapa.”
“Biashara gani?”
“Eleweni ni biashara chafu tu.”
“Tuambie, biashara ya madawa ya kulevya?”
“Hapana.”
“Sasa ni biashara gani?”
Sikutaka kujibu, nikabaki kimya kwa kuwa nilifahamu fika kwamba endapo ningewaeleza kile kilichokuwa kimenitokea na wao kingewatokea, wangelia zaidi.

Kila nilipojaribu kubaki kimya, waliendelea kunibembeleza kwamba nilitakiwa kuwaambia ukweli.
“Mmeletwa kuigiza filamu ya ngono,” niliwaambia.
“Kuigiza filamu ya ngono. Uwiiiiiii....” alisema msichana mmoja na kuanza kulia.
Ilikuwa ni haki yao kulia, lilikuwa ni jambo lenye kuumiza mno. Kuna mmoja akasema kwamba ilikuwa ni lazima waletewe mbwa kwa ajili ya kufanya nao

kwani ndiyo ilivyokuwa tabia za wazungu wengi hasa wanapokuja barani Afrika.
Kwa kuwa tuliambiwa kwamba tulitakiwa kwenda kujiandaa, tukaelekea bafuni kwa zamu na kisha kusubiri ili tuone ni kitu gani kingeendelea.
Naomba niwakumbushe kwamba mpaka kipindi hicho sikujua ni mahali gani nilipokuwa, sikujua kama ilikuwa ni Tanzania au nje ya Tanzania, sikufahamu kitu

chochote kile.
Tukatakiwa kutoka ndani na kuelekea sebuleni, kule, tayari kamera zilikuwa zimeegeshwa. Tukapewa maelekezo kwamba tulitakiwa kuigiza filamu moja ya

ngono, mimi Hemedi nilitakiwa kufanya na Catherine huku wale wasichana wakiwa wameandaliwa wanaume wengine wa Kizungu.
“Mkionyesha huzuni zozote kwenye video, tunawaua,” alipiga mkwara Antony.
Kabla ya kuanza rasmi, tukaletewa chakula, tukala na kisha kupewa vidonge vya kuongeza nguvu ya kiume (viagra) na kuanza kunywa.
Siku hiyo, nikafanya mapenzi na Catherine, nikafanya mapenzi na wasichana wale wawili tena kwa zamu. Ndiyo nilikuwa nimekunywa dawa ya kuongeza nguvu

lakini mpala masaa manne yanakatika, nilikuwa hoi, mwili wote ukawa umechoka na siku na nguvu yoyote ile.
“Nataka tena, hii sasa ni binafsi, tena nataka nyuma, kupo tayari, ni kuzuri tu wala hakuna kizuizi,” aliniambia Catherine kwa sauti ya chini iliyotoka kimahaba.
Nilishtuka mno, sikutarajia kama ningeambiwa kitu kama kile, ila ndiyo niliambiwa hivyo na alikuwa amemaanisha kile alichokuwa amekisema.
Sikuwa na jinsi, ingawa nilichoka sana, tukaelekea chumbani na Catherine na kuanza kufanya naye. Sikuupenda mchezo ule mchafu, sikuwahi kumuingilia

mwanamke kinyume na maumbile lakini kwa kuwa wakati huo nilifanya mengi ya kulazimishwa, sikuwa na jinsi.
Mpaka inafika saa tatu usiku, nilikuwa hoi, wazungu wale walionekana kutokujali, walichokifanya ni kutuchukua na kutaka tuanze upya kufanya, hiyo ilikuwa

saa sita usiku.
Usiku huo sikutakiwa kufanya na mzungu yeyote yule, nilitakiwa kufanya na wale wasichana wa Kitanzania. Walilia sana lakini hawakuwa na jinsi, nilifanya nao

kwa zamu. Sikuona tena raha ya tendo lile, kwangu ilionekana kuwa adhabu kali ambayo sikuwa nimeifikiria kabla.
“Bado nyuma,” aliniambia Antony.
“Hapana. Siwezi.”
“Bado nyuma, nitakuua.”
Sikuwa na jinsi, wasichana wale walikuwa kwenye huzuni kubwa lakini hawakutakiwa kulia kabisa kwani ile ilikuwa ni amri iliyotolewa na hivyo ilitakiwa

kufanyika.
Masikini! Wasichana wa watu hawakuwahi kuingiliwa kinyume na maumbile, nikawa mtu wa kwanza kuwafanyia hivyo tena kwa kulazimishwa. Japokuwa

waliumia lakini walitakiwa kutabasamu ili video ile ipendwe na kila atakayekuwa akiiangalia.
Uchafu ulikuwa ukiwatoka nyuma lakini bado nililazimishwa niendelee kuwafanyia ukatili wa namna ile. Ninaposema kwamba ninawachukia wazungu, nyie

nieleweni tu, mateso ya siku ile yalikuwa ni ya juu mno.
Tulipomaliza, tukaambiwa ni muda wa kulala. Hiyo ilikuwa ni siku ya pili, hakukuwa na mtu aliyelala, wote tulikuwa tukilia tu kwani ukatili ule ulikuwa ni

mkubwa mno.
Nyemo, ninakwambia haya kwa kuwa ninataka Watanzania waelewe mengi kuhusu wale waungu waliokuja kunisababishia nikakosa mke, naomba uwaambie

Watanzania kila kitu kilichotokea iliwasiweke uaminifu kwa wazungu hawa.
Baada ya siku hiyo, kesho ratiba ikawa inaendelea kama kawaida. Kitu cha kwanza, wakaletwa mbwa, niliposikia wakibweka tu, nikajua leo ilikuwa ni ratiba ya

kufanya mapenzi na mbwa. Wasichana wale wakabaki wakilia tu.
Hakika iliumiza lakini hatukuwa na jinsi. Hatukujua ni wapi tulipokuwa na ni kwa namna gani tungeweza kuondoka mahali pale. Huku tukiwa tumetulia tu na

wasichana wale wakilia, mlango ukafunguliwa, wanaume wanne wa kizungu wakaingia na kuwanyanyua wasichana wale na kutoka nao ndani ya chumba kile,

kipindi hicho chote, mbwa walikuwa wakibweka tu.
Moyoni niliumia mno!!!!

Hakukuwa na kitu kilichobadilika, bado wasichana wale walikuwa katika wakati mgumu, japokuwa walikuwa wakiomba sana msamaha bila kujua walifanya

kosa gani lakini hakukuwa na mtu aliyewasikiliza, walichokuwa wakikitaka wazungu wale ni kuona wasichana hao wakifanya mapenzi na mbwa wao tu.
Japokuwa nilitaka kubaki ndani lakini nikalazimishwa kutoka ndani ya chumba kile na kutakiwa kwenda kuona kilichokuwa kikiendelea. Sikupenda kwenda

lakini sikuwa na jinsi, mdomo wa bunduki ulikuwa ukiniangalia tu.
Nilipofika sebuleni, tayari kamera zilikuwa zimkwishawekwa tayari na ni waigizaji tu ndiyo waliotakiwa kufanya kile walichotakiwa kukifanya. Wakati wote

walitishiwa maisha yao, hawakutakiwa kulia au kuonyesha ishara yoyote ya kutotaka kulifanya tendo lile wakati kamera zikianza kushuti, walichokuwa

wakitakiwa ni kuweka uso wa tabasamu huku wakitoa miguno ya kimahaba.
Baada ya kupewa chakula na kula, wakatakiwa kuwafuata mbwa wale. Inaniuma sana, kila ninapolikumbuka tukio lile, hakika moyo wangu unaumia kupita

kawaida. Wasichana wadogo, waliokuwa na mvuto ambao kwa mtazamo tu walionekana wasomi, wakalazimishwa kufanya mapenzi na mbwa wale.
Mbwa hawakuelewa kitu ila walipoanza kushikwa sehemu zao za siri na wadada wale likiwepo la kuwanyonya kwa kulazimishwa, miili yao ikasisimka na wale

wakinadada kuinama na kuanza kuingiliwa kimapenzi na mbwa wale.
Sikuweza kuvumilia kuangalia kile kilichokuwa kikiendelea. Hawakulia wala kuhuzunika kwa kuwa lilikuwa kosa la jinai, walichokuwa wakikifanya ni kutoa

miguno ya kimahaba kama watu waliokuwa wakisikia raha fulani lakini ukweli ni kwamba walisikia sana maumivu.
Kamera ziliendelea kuchukua kilichokuwa kikiendelea kutokea mahali pale huku nyingine zikipiga picha ambazo bila shaka zilitakiwa kuwekwa kwenye

majarida mbalimbali ya picha za ngono duniani.
Tendo lile liliendelea kwa dakika zaidi ya arobaini na ndipo waliporuhusiwa kuondoka kurudi chumbani. Lilikuwa suala gumu sana kuwafariji wasichana wale,

kila wakati walikuwa wakilia lakini sikuwa na cha kufanya.
“Nyamazeni, naamini Mungu atawalipia,” niliwaambia huku na mimi machozi yakinibubujika, sikuweza kuuvumilia unyama ule.
“Nimefanya mapenzi na mbwa, nimefanya mapenzi na mbwa,” alisema msichana mmoja huku akilia.
Nyuso zao zilionyesha masikitiko ya hali ya juu kiasi kwamba kila nilipokuwa nikiwaangalia niliendelea kulia zaidi.
Ndani ya wiki tatu, bado maisha hayo ya kufanyishwa mapenzi ndani ya jengo hilo yalikuwa yakiendelea. Kichwa changu kilikuwa kikiuma sana, nilitamani

kutoroka lakini sikujua ni kwa namna gani ningeanza kufanya hivyo.
Baada ya siku mbili, nikapewa taarifa sasa ilikuwa ni zamu ya kufanya mapenzi na wasichana wale, tena kwa zamu. Kwanza nikashtuka na sikuamini kile

nilichoambiwa. Yaani wasichana waliokuwa wamefanya mapenzi na mbwa, walitakiwa kufanya mapenzi na mimi pia.
“Haiwezekani,” nilisema kwa sauti ya juu.
“What do you say?” (Unasema nini?) aliniuliza Antony kwa hasira.
“Its impossible” (Haiwezekani)
“You said the same word last few weeks” (Ulisema neno hilohilo wikichache zilizopita) aliniambia Antony.
“Unajua huyu mzungu nitamuua, anafikiri naogopa bunduki yake,” niliwaambia wasichana wale kwa uchungu.
“Speak English, what do you mean?” (Zungumza Kingereza, unamaanisha nini?)
“I will kill you” (Nitakuua)
“Hahaha! Are you comedian” (Hahaha! Wewe ni mchekeshaji?)
Sikumjibu kitu, nilinyamaza kwani kwa kila neno alilokuwa akiliongea nilishikwa na hasira zaidi.
Siku iliyofuata mlango ukafunguliwa na kutakiwa kutoka nje ya chumba kile, kilichofuata ni kunywa chai na kuambiwa kwamba filamu yetu ingeanza muda si

mrefu. Tulipomaliza, tukaambiwa kwamba filamu ingeanza rasmi.
Nilifanya kwa kuwa sikutaka kupigwa risasi tu. Nikaanza kufanya mapenzi na wasichana wale watatu, sikuwa na nguvu hizo lakini kwa kuwa nilitumia viagra,

nilifanikiwa kuwaridhisha wote.
Wazungu wale walionekana kuwa makini, hawakutaka filamu yao iharibike hivyo kututolea macho kwa umakini zaidi, tulipomaliza, wakatupigia makofi ya

shangwe na kutuambia kwamba tulikuwa tumefanikiwa kuicheza vizuri kama ilivyotakiwa.
Tukarudishwa chumbani. Wote wanne tulikuwa tukilia tu. Siku hiyo ndiyo ilikuwa mbaya zaidi kwangu, nililia mno na kujuta kwa kuweka urafiki na wazungu

wale.
“Ni lazima tutoroke,” niliwaambia wasichana wale.
“Tutatoroka vipi?”
“Niachieni mimi. Ila ni lazima tutoroke.”
“Kwa nini tusiwaue? Sioni sababu ya kuendelea kuwaona wakiishi, ni bora kuwaua kwanza na ndiyo tutoroke,” aliniambia msichana mmoja, huyu aliitwa Asha.
“Kwa hiyo tuwaue?” niliuliza.
“Ndiyo.” Alijibu Asha.
“Tutaanzaje?” nilijiuliza moyoni lakini sikupata jibu.
Siku mbili baadae, nikaanza kuwashwa sehemu za siri, muwasho ambao sikuwahi kuuhisi maishani mwangu.

Nahisi ugonjwa wa ajabu ulikuwa umenipata, nilikuwa nikiwashwa mno kiasi kwamba kila wakati mikono yangu ilikuwa sehemu za siri. Sikuwa mtu wa aibu,

nilikuwa nikijikuna mbele ya wasichana wale walioonekana kuogopa sana.
Nilijifannanisha na mpiga gitaa, wakati mwingine nilikuwa nikivua nguo na kubaki kama nilivyozaliwa, kilichofuata, kilikuwa ni kujikuna kwa sana.
Ugonjwa wa gono ikaanza kuniopata na kuniletea matatizo mwilini mwangu, niligubikwa na upweke mno, kila nilipokuwa nikijiangalia sehemu za siri,

kulikuwa na uchafu uliokuwa ukitoka, ulifanana na usaha.
Siku hiyo nilishinda ndani nikilia tu, hakukuwa na mzungu aliyeingia ndani siku hiyo. Siku iliyofuata, asubuhi na mapema Antony akaingia na kututaka tujiandae

kwani bado mchakato wa kuigiza filamu ulikuwa ukiendelea kama kawaida.
Nilimwambia wazi kwamba nilikuwa naumwa lakini hakuonekana kukubaliana nami. Aliniambia wazi kwamba iwe isiwe ilikuwa ni lazima kuendelea na

mchakato wa kuigiza filamu.
Ratiba ilikuwa ikisema kwamba siku hiyo nilitakiwa kuigiza na Cathie, aliposikia kwamba nilikuwa mgonjwa, akaogopa, wakaniambia kwamba nilitakiwa

kuigiza na wasichana wale, ratiba ilibadilika ghafla.
Kiukweli iliniumiza mno, wakati mwingine nikawa ninajuta ni kwa sababu gani niliwaambia ukweli kwamba nilikuwa naumwa, sikutaka kufanya mapenzi na

wasichana wale kwa kuwa walikuwa kwenye mateso kama niliyokuwa mimi.
Sikuwa na jinsi, hapa subiri nikwambie kitu kimoja, unapokuwa katika hali hiyo, kupinga inakuwa ngumu sana. Kila mara Antony alipokuwa akiingia alikuwa na

bunduki mkononi, unafikiri ningefanya nini.
Ndivyo hivyo, siku hiyo nilifanya mapenzi na wasichana wale lakini muda wote uso wangu ulionekana kuwa na majonzi.
“Cut off” alisikika muongozaji.
“What happen?” (Nini kimetokea?) aliuliza Antony.
Hapo ndipo alipoanza kumwambia kwamba siku ile sikuwa katika mudi nzuri na hivyo nilikuwa nikiiharibu filamu ile. Walikasirika, wakanipa vitisho vya kila

namna lakini sikuweza kubadilika, nisingeweza kuonekana katika hali ya kawaida na wakati nilikuwa nikiwaambukiza wanawake wale gonjwa la gono.
Pamoja na vitisho vyote, sikutaka kubadilika, walipoona kwamba imeshindikana, wakatupeleka chumbani ambapo huko, wote kwa pamoja tukaanza kulia kwa

uchungu.
Siku iliyofuatia, tena ikiwa usiku, wakatuchukua na kutuingiza ndani ya gari. Kwa masikio yangu niliwasikia wakipongezana kwamba filamu ilikuwa

imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana na hivyo watarajie mauzo makubwa.
Iliniuma sana lakini ningesema nini? Na ningefanya nini? Ilibidi nikubaliane nao tu kwamba sura zetu zingetumika katika kuwaingizia fedha.
Tulifungwa vitambaa usoni na gari lilikuwa likiendeshwa kwa kasi kubwa, hatukujua tulikuwa wapi lakini baada ya masaa manane, tukaambiwa tuteremke,

tukashuka, ilikuwa ni saa kumi alfajiri, hapo, wakatuacha na wao kuondoka zao, hatukujua walielekea wapi.
“Hawa watu mbona wapo hivi? Kuna nini?” tulisikia sauti za watu mbalimbali wakiuliza huku nyuso zetu zikiwa na vitambaa, miguuni tulifungwa kamba na

hata mikono yetu pia ilifungwa kamba na kupitishwa kwa nyuma.
Watu hao wakaja na kutufungua vitambaa vile. Idadi ya watu zaidi ya themanini walikuwa wametuzunguka, kila mmoja alionekana kuwa na swali la kuuliza.
Nilipokuwa naiangalia sehemu hiyo, kumbukumbu ziliniambia kwamba nilikuwa napafahamu lakini sikukumbuka ilikuwa sehemu gani. Baada ya kukaa na

kuitazama sehemu ile kwa makini, nikaona kibanda kimoja kikiwa kimeandikwa Mwenge Kiosk, nikajua kwamba tulikuwa Mwenge.
“Kuna nini jamani?” aliuliza jamaa mmoja, alikuwa askari kanzu, badala ya kujibu swali hilo, tukaanza kulia.
“Jamani, kuna nini? Mbona mpo hapa na kamba mikononi?” aliendelea kuuliza askari yule lakini hakukuwa na mtu aliyelijibu swali hilo.
Tukachukuliwa na kupelekwa katika Kituo cha Mwenge, huko, tukawekwa chini na kuanza kuulizwa maswali kadhaa. Kwa sababu tulikuwa katika mikono

salama, tukaanza kuelezea kila kitu kilichotokea.
“Poleni sana,” alisema polisi mmoja huku alionekana kutia huruma.
Kila kitu kikaandikwa na kisha kupelekwa na gari mpaka majumbani kwetu. Nilipofika nyumbani, nikaanza kulia sana, kila kitu kilichokuwa kimetokea,

kiliniumiza mno.

Baadae sana, ndugu zangu wakiwepo wazazi wangu wakafika nyumbani hapo na kukuta mlango upo wazi, walihofia kwamba wangeweza kukuta kila kitu

kimekombwa lakini walipoingia ndani, wakakuta kila kitu kipo salama huku nikiwa nimekaa kitandani nikilia tu.
Kwanza walishangaa, hawakutegemea kama wangeweza kunikuta chumbani hapo, nilikuwa nimepotea kabisa, niliondoka nyumbani kwa kushtukiza japokuwa

niliwaambia kwamba kuna siku ningeondoka na wazungu wale.
Wakanifuata na kuanza kuniuliza maswali juu ya nini kilichokuwa kimetokea na kwa nini nilikuwa nikilia. Sikuwaficha, japokuwa nilikuwa nikilia sana lakini

niliwaeleza ukweli kila kitu kilichokuwa kimetokea.
Haukuwa muda wa kunilaumu tena kwa kile kilichokuwa kimetokea, wao ndiyo walikuwa watu pekee wa kunifariji juu ya kila kitu kilichokuwa kimetokea.

Walichokifanya ni kumpigia simu Halima na kuwambia kwamba nilikuwa nimerudi nyumbani.
Ndani ya dakika ishirini, Halima alikuwa nyumbani, alikuwa mtu mwenye wasiwasi mno, kila alipokuwa akiniangalia, hakusita kuniambia kwamba moyo wake

ulijawa hofu. Kwa sababu alikuwa mpenzi wangu, sikuona umuhimu wa kumficha kitu chochote kile, nikamueleza kwa undani kila kitu kilichotokea toka siku

ya kwanza nilipokunywa soda yenye dawa ya usingizi, kupelekwa katika nyumba nisiyoifahamu na mwisho wa siku kufanyishwa ngono na wasichana waliokuwa

wameletwa ndani ya nyumba ile.
Kilichoshauriwa ni kwamba ningekwenda hospitali kwa ajili ya kupima na kuona nilikuwa nikisumbuliwa na nini. Sikutaka kuchelewa, siku hiyo, nikaenda

hospitalini, majibu yakatoka na kusema kwamba nilikuwa na ugonjwa gono.
Niliumia sana. Walinipa dawa ambazo nilizitumia kwa siku thelathini na ndipo nikapata nafuu na kuendelea na maisha yangu kama kawaida.
Kila siku niliendelea kuwa na Halima, kwa wakati huo sikuwa nikitaka kusikia kuhusu wazungu, waliuumiza moyo wangu, waliyahatarisha maisha yangu,

sikuona sababu zozote za kuwashobokea na hata nilipokuwa nikikutana nao njiani, nilikuwa nikitema mate kwa kichefuchefu.
Mwili wa Halima ulikuwa ukichemka sana, kila nilipokuwa nikimuita nyumbani, alikuwa akinilazimisha sana nifanye naye ngono lakini sikutaka kabisa kitu

hicho kifanyike. Japokuwa nilikuwa nimepona gono lakini bado nilikuwa na wasiwasi mno.
Sikujipa moyo kwamba nilikuwa mzima, nilitaka kusubiri miezi mitatu ipite ndiyo niende kupima nione kama nilikuwa salama. Kwa Halima ilikuwa ni shida

sana. Muda mwingi alikuwa akinilazimisha na hata nilipokuwa nikikataa alinitishia kwa kutaka kwenda nje ya ndoa, lakini yote hayo niliyafanya kwa ajili yake.
“Au tutumie mpira,” nilimwambia.
“Mpira! Hapana. Siwezi kutumia mpira kwa mpenzi wangu,” aliniambia huku akijiweka kihasarahasara kitandani.
“Bila mpira, hakuna mapenzi. Siwezi Halima.”
“Kwa nini mpenzi? Mbona unaninyima haki yangu ya msingi?”
“Siiamini afya yangu kipenzi.”
“Mi nakuamini. Naomba tufanye, mwili wangu unaniwaka moto,” aliniambia.
Halima alikuwa kwenye kipindi kigumu mno, mwili wake uliwaka mooto kwa kutamani kufanya mapenzi lakini kwangu suala hilo lilikuwa gumu. Halima

hakuishia hapo, aliwaambia mpaka marafiki zake na wengi wao walimwambia kwamba kama ndiyo hivyo basi aachane nami na kumtafuta mtu mwingine, kama

ilishindaka, ilitakiwa aakikishe kama nilikuwa mzima, yaani bado ilikuwa ikifanya kazi au la.
Hilo halikuwa tatizo kwake. Siku moja akanifuata na kuvua nguo zote na kupanda kitandani. Alikuwa kwenye majaribio kwa kutaka kuona kama ilikuwa

ikifanya kazi au la. Ngoma ilikuwa ipo poa kabisa.
“Naombaaaaaaa...” aliniambia kwa sauti ya mahaba, ilitoka huku ikionyesha ni kwa kiasi gani alikuwa amebanwa.
“Haiwezekani.”
“Nahitaji, pleaseeeeee,” aliniambia Halima huku akianza kububujikwa na machozi.
Ilihitaji ujasiri wa hali ya juu. Simba mwenye njaa, mbele yake alikuwa akipita swala, tena kwa mwendo mdogo halafu simba ajifanye kumwangalia tu huku

akijifanya yupo kwenye mfungo wa siku arobaini, ilikuwa ni ngumu sana.
Japokuwa Halima alilia na kulia lakini msimamo wangu ulikuwa uleule ‘nooooo...no condom, then no sex’
Alikasirika sana siku hiyo, alipoondoka, hakutaka kurudi tena. Baada ya miezi mitatu nikaelekea zangu hospitalini kupima, nilipofika, nikapimwa na kuambiwa

kwamba nilikuwa nimeathirika kwa ugonjwa wa UKIMWI.
Sikutaka kuyafichana majibu yangu, kitu cha kwanza nikamfuata Halima na kutaka kuonana naye. Japokuwa alikuwa mgumu sana lakini mwisho wa siku

alikubali kuonana nami. Tukaenda sehemu kula.
“Kuna nini?” aliniuliza, nilikuwa nikilengwa na machozi.
“Najua ulinipenda sana, lakini unajua kwamba nilikupenda zaidi ya unavyonipenda?” nilimuuliza.
“Hapana. Nilikupenda zaidi yako,” aliniambia kwa sauti ya chini.
“Halima. Nilikuwa na ndoto nyingi za kuishi pamoja nawe lakini nasikitika kukwambia kwamba haitowezekana tena,” nilimwambia.
“Kwa nini?”
“Kwa sababu nakupenda.”
“Unanipenda na wakati unaniumiza! Niambie tatizo nini?”
Halima. Nashukuru kwa kuwa ulikuwa nami katika kipindi chote cha mahusiano yetu, ulinithamini na nilikuthamini, tulipendana mno lakini ningependa

kukwambia kitu kimoja,” nilimwambia.
“Kitu gani?”
“Wazungu wamenikosesha mke.”
“Kwa nini?”
“Nimeathirika Halima.”
“Unasemaje?” aliuliza huku akitetemeka, alikuwa ameshtuka kupita kawaida.
Nilimwambia Halima kwamba hata kile kitendo cha kukataa kufanya mapenzi naye ilikuwa njia mojawapo ya kumlinda na ugonjwa ule. Japokuwa alinichukulia

kama katili, mbinafsi lakini leo alikuwa amefahamu kwamba nilifanya vile kwa kuwa sikutaka aathirike
“Nashukuru sana Hemedi, sidhani kama nitampata mtu mwenye mapenzi ya dhati kama yako,” aliniambia Halima huku akionekana kuwa na furaha.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Wazungu walibadilisha taswira nzima ya maisha yangu, waliniharibu sana. Baada ya miezi kadhaa, nikasikia kwamba nilikuwa

nimeonekana kwenye mikanda kadhaa ya ngono. Sikutaka kufuatilia sana kwani nilijua kwamba hilo ndiyo lilikuwa lengo lao, kuingiza fedha.
Nikamuachia Mungu!
MWISHO

Post a Comment

0 Comments